Numbers 24:17-19


17 a“Namwona yeye, lakini si sasa;
namtazama yeye, lakini si karibu.
Nyota itatoka kwa Yakobo,
fimbo ya ufalme itainuka kutoka kwa Israeli.
Atawaponda Wamoabu vipaji vya nyuso
na mafuvu yote ya wana wa Shethi.

18 bEdomu itamilikiwa,
Seiri, adui wake, itamilikiwa,
lakini Israeli atakuwa na nguvu.

19 cMtawala atakuja kutoka kwa Yakobo
na kuangamiza walionusurika katika mji.”

Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu

Copyright information for SwhKC